Blog ya Interior design,Mapambo,Mitindo na Vitu Vizuri.
Da Sophie, hii nimeipenda sana. Picha ya kwanza imenifanya niduwae! Nilipoiona ya pili nikashangaa tu, na ya tatu tena, doh, zote ni murua mno.
Ni kweli Subi,yaani hawa wamama ni wataalamu,hata mie nilishangaa na kusipenda kama wewe.Asante subi
olaaah wamama wakenya , wachacharikaji , sasa sophy inabidi tuanze kununua sasa inakuwaje,, mbona vitu vizuri?
Da Sophie, hii nimeipenda sana. Picha ya kwanza imenifanya niduwae! Nilipoiona ya pili nikashangaa tu, na ya tatu tena, doh, zote ni murua mno.
ReplyDeleteNi kweli Subi,yaani hawa wamama ni wataalamu,hata mie nilishangaa na kusipenda kama wewe.Asante subi
ReplyDeleteolaaah wamama wakenya , wachacharikaji , sasa sophy inabidi tuanze kununua sasa inakuwaje,, mbona vitu vizuri?
ReplyDelete