Na familia nzima ya wana-Changamoto wanawatakia Pesach njema kwenu nyote. Amani na Upendo vidumu maishani mwenu na baraka katika maisha yenu. Pamoja Daima Mwakiihyukayo ekiro kikuru. Lollllll
Asante sana Subi,Mzee wa Changamoto kumbe kihaya kinapanda nashukuru mwakiyukayo nainywe.Bwaya Shukrani kusikia hivyo blogging friends kama nyie ndio mnafanya kazi hii izidi kuvutia,nawashukuruni,Umoja ni nguvu,karibuni tena
Heri kwa sikukuu ya Pasaka nanyi.
ReplyDeleteNa familia nzima ya wana-Changamoto wanawatakia Pesach njema kwenu nyote. Amani na Upendo vidumu maishani mwenu na baraka katika maisha yenu.
ReplyDeletePamoja Daima
Mwakiihyukayo ekiro kikuru. Lollllll
Dada Sophie,
ReplyDeleteKwa kweli unafanya kazi nzuri. Ninajifunza mengi sana kuhusu mambo ya upambaji kupitia blogu yako. Hongera sana kwa specialization nzuri.
Asante sana Subi,Mzee wa Changamoto kumbe kihaya kinapanda nashukuru mwakiyukayo nainywe.Bwaya Shukrani kusikia hivyo blogging friends kama nyie ndio mnafanya kazi hii izidi kuvutia,nawashukuruni,Umoja ni nguvu,karibuni tena
ReplyDelete